

Lugha Nyingine
动力电池今年或迎首批退役潮 资本抢滩百亿回收市场
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 22, 2025
百度 笔者认为,每一个人,每一个行业都要有居安思危的意识,时刻不能停止学习的脚步,否则下一个穷途末路的或许就是你。
Wilaya ya Gegye ya Eneo la Ngari katika Mkoa unaojiendesha wa Xizang, kusini-magharibi mwa China ni sehemu yenye maliasili nyingi za chumvi. Wilaya hiyo imeanzisha kiwanda cha kuchakata chumvi ghafi, na inaunda hatua kwa hatua mnyororo wa uzalishaji wa kiwanda hicho unaohusisha kazi za uvunaji, uhifadhi, uchakataji, ufungashaji na uuzaji chumvi, ili kuongeza mapato ya wanakijiji. Mwaka 2018, desturi ya wilaya hiyo ya kondoo kubeba chumvi iliwekwa kwenye orodha ya uwakilishi wa mali ya urithi wa utamaduni usioshikika ya Mkoa huo unaojiendesha wa Xizang.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma