

Lugha Nyingine
北京交通拥堵调查:203处交通堵点乱点年底“销账”
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 25, 2025
百度 当时,《深圳晚报》记者还向李亚鹏好友求证,对方说:“是亚鹏和我父亲说的,还给周迅买了订婚戒指。
Mkutano wa Vyombo vya Habari na Taasisi za Washauri Bingwa wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) umekuwa ukifanyika katika Mji wa Zhengzhou, Mkoa wa Henan, katikati mwa China kuanzia Julai 23 na umepangwa kuendelea hadi Julai 27. Washiriki wamealikwa kutembelea sehemu mbalimbali za mkoa huo wa Henan katika wakati wa mkutano huo.
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma